RULANI MUKWENA AFUTWA KAZI WAYDAD CASABLANCA

ZILIZO KIKI (AFRICA) 🚨

Taarifa zilizo kamilika na kutoka nchini Morocco ni kuwa Klabu ya waydad Casablanca wameachana rasmi na aliekua  kocha wao  RULANI MUKWENA  kutoka south Africa. MOHAMMED AMINE  BENHACHEM  atachukua nafasi hiyo kama kocha wa muda mpaka pale kocha Mpya atakapo patikana na kutangazwa.